Vivutio vyaTanzania kutangazwa kielektroniki

Bodi ya Utalii nchini Tanzania (TTB ) imesema kuwa kutokana na mabadiliko ya teknolojia yanayoonekana kushika kasi hivi sasa imewalazimu kutumia njia za mitandao ya kijamii katika kutangaza vivutio mbalimbali vilivyopo nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS