Rodrigues amuumiza kichwa Zidane Baada ya ujio wa Alvaro Morata ndani ya klabu ya Real Madrid, James Rodrigues anataka kuondoka ndani ya klabu hiyo, lakini kocha Zinedine Zidane, amesema hawezi kumwachia mshambuliaji huyo. Read more about Rodrigues amuumiza kichwa Zidane