BFT kujikita ndani baada ya kukosa Olimpiki Shirikisho la ngumi za ridhaa Tanzania BFT litaendelea na programu zingine za mashindano ya ndani kwa mwaka huu, licha ya kuenguliwa kushiriki mashindano ya Olimpiki ya mwezi Agosti, mjini Rio, Brazil. Read more about BFT kujikita ndani baada ya kukosa Olimpiki