Wakulima washauriwa kuacha kutumia viuatilifu

Wakulima wakiwa wanahifadhi mahindi yao katika mifuko kwa ajili ya Mauzo

Mkoa wa Iringa umeanza kuchukua hatua za makusudi za kupunguza matumizi ya viuatilifu katika kemikali za mazao ya wakulima na kuelimisha njia za asili ili ni kulinda afya za walaji na ubora wa mazao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS