Maganga atimua watumishi sita wa Halmashauri

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emanuel Maganga.

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali Mstaafu Emanuel Maganga, amewasimaisha kazi watumishi sita wa Halmashauri wa halmashauri ya wilaya ya Kigoma na Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa kutoa taarifa za uongo kwa kiongozi wa mbio za mwenge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS