TSA kukutana Juni 25 kwa maandalizi ya Olimpiki Chama cha kuogelea nchini TSA kinatarajia kukutana Juni 25 kwa ajili ya kuangalia katiba ya chama ambayo wanaifanyia marekebisho pamoja na maandalizi ya mashindano ya Olimpiki. Read more about TSA kukutana Juni 25 kwa maandalizi ya Olimpiki