Yanga kuifuata Medeama kesho, yawaacha wanne

Kikosi cha Yanga

Kikosi cha Yanga kinatarajia kuondoka alfajiri ya kuamkia kesho kuelekea nchini Ghana kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Timu ya Medeama utakaopigwa Jumanne ya Julai 26 mwaka huu nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS