Mgodi watoa vifaa tiba kwa hospitali ya Muhimbili

Mganga Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita akizungumza na EATV muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa tiba kwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mine - GGM, umetoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 23 ili kusaidia jitihada za serikali za kuboresha huduma za afya kwenye kitengo cha watoto katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS