Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome.
Ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, imezindua awamu ya pili ya mpango wa usaidizi maendeleo UNDAF uanolenga kusaidia kusukuma mbele juhudi za maendeleo katika sekta tofauti nchini humo.