Nchi za Kiafrika zatakiwa kuongeza wigo wa mapato Katibu Mkuu wa UNCTAD, Dkt. Mukhisa Kituyi Nchi za Afrika zinapaswa kuongeza wigo wa vyanzo vya mapato ili kufadhili maendeleo yao, la sivyo utegemezi wa mikopo utakwamisha utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu. Read more about Nchi za Kiafrika zatakiwa kuongeza wigo wa mapato