Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ujenzi ya wodi ya wazazi kwenye kituo cha afya Gairo
Halmashauri ya Wilaya ya Gairo imetakiwa kuweka kwenye mipango yake ujenzi wa hospitali ya wilaya na kiwe ni kipaumbele chao