Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana kwa dharura DSM

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe anatarajiwa kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho katika kikao cha dharura Jijini Dar es salaam tarehe 23 na 24 mwezi huu ili kujadili mambo muhimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS