Kiki zamponza Kalla Jeremiah

KALLAH JEREMAYA

Mkali wa Hip Hop Kalla Jeremiaha ameongea na Enews na kueleza sababu zinazopelekea yeye kuonekana kama amepotea kwenye muziki na kusema sio kweli kwamba kapotea bali ni kwa sababu za kujiweka mbali na kiki zisizo na msingi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS