Mtoto auawa kwa kupigwa fimbo na baba wa kambo Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Ahmed Msangi Mwanafunzi wa chekechea shule ya msingi Ilunga amefariki dunia baada ya kupigwa fimbo na baba yake wa kambo wilayani Magu mkoani Mwanza. Read more about Mtoto auawa kwa kupigwa fimbo na baba wa kambo