Madereva watishia kugoma mkoani Mbeya

Madereva wanaotumia kituo kikubwa cha Mabasi cha jijini Mbeya wametishia kugoma kutoa ushuru,ikiwa serikali itashindwa kutatau changamoto mbalimbali zinazokikabili kituo hicho ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu ambayo imeendelea kuharibika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS