Al Ahly kama Yanga, yadundwa kwa mara ya pili CAF
Klabu ya soka ya Al Ahly nayo ipo mashakani kutinga hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Afrika baada ya kukubali kipigo cha pili mfululizo ambapo jana walifungwa nyumbani mabao mawili kwa moja dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory Coast.