Al Ahly kama Yanga, yadundwa kwa mara ya pili CAF

Kikosi cha Al Ahly ya Misri kilichokutana na dhama jana kikiwa nyumbani.

Klabu ya soka ya Al Ahly nayo ipo mashakani kutinga hatua ya nusu fainali ya klabu bingwa barani Afrika baada ya kukubali kipigo cha pili mfululizo ambapo jana walifungwa nyumbani mabao mawili kwa moja dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory Coast.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS