Kikosi cha Stars dhidi ya Nigeria kutajwa Jumanne
Kocha MkuuTaifa Stars Charles Mkwasa wiki ijayo anatarajia kutangaza kikosi kwa ajili ya kambi ya awali ya wiki moja ikiwa ni maandalizi ya kucheza na Nigeria katika mchezo wa kukamilisha ratiba ya kuwania kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrik

