Azam FC yavuna vipaji sita kutoka Kigoma

Baadhi ya vijana waliojitokeza katika dimba la Lake Tanganyika mjini Kigoma

Azam FC, imefanikiwa kuvuna vijana sita kwenye majaribio ya wazi yaliyohusisha vijana chini ya umri wa miaka 17 (U-17), iliyoyafanya katika Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma mwishoni mwa wiki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS