Polisi yachunguza tuhuma za rushwa dhidi ya Sirro

Kamishna Simon Sirro

Jeshi la polisi nchini limesema litafanya uchunguzi wa tuhuma za rushwa dhidi ya Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Simon Sirro na baadhi ya makamanda wa mikoa akiwemo kamanda wa mkoa wa Kinondoni Susan Kaganda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS