Simba yanyooka, yakubali kukaa meza moja na wazee
Klabu ya Simba ya Dar es Salaam inayoshiriki ligi kuu ya soka Tanzania Bara 'imenyoosha mikono' na kukubali kukaa meza moja na baraza la wadhamini la klabu hiyo kabla ya mkutano mkuu uliopangwa kufanyika Desemba 11, mwaka huu.