Hospitali Dar kutumia panya katika upimaji wa TB Mtaalam wa maabara akitumia panya kupima sampuli za ugonjwa wa kifua kikuu Hospitali zote za umma jijini Dar es Salaam hivi karibuni zitaanza kutumia panya kwa ajili ya kupima sampuli za ugonjwa wa kifua kikuu. Read more about Hospitali Dar kutumia panya katika upimaji wa TB