Mwakani sitakuwa na roho nzuri - Fid Q Fid Q (kushoto) akiwa na Bill Nas katika usiku wa EATV Awards Msanii nguli wa hip hop bongo Fid Q baada ya kushuhudia EATV AWARDS mwaka huu, ameanza kujipanga kwa ajili ya mwakani na kusema kuwa hatokuwa na roho nzuri kwenye kuachia kazi. Read more about Mwakani sitakuwa na roho nzuri - Fid Q