Kifo cha mchezaji wa Mbao FC, baba mzazi afunguka

Mchezaji Ismail Mrisho Halfan wa timu ya Mbao U-20 akitolewa uwanjani na watu wa msalaba Mwekundu baada ya kuanguka uwanjani wakati wa mchezo wao uliokuwa .

Wadau wa soka nchini wameendelea kumlilia mchezaji Ismail Halfan wa timu ya vijana wenye umri wa chini ya miaka 20 wa Mbao FC ya Mwanza, aliyefariki dunia jana baada ya kuanguka kwenye Uwanja wa Kaitaba, Bukoba mkoani Kagera dhidi ya vijana wa Mwadui

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS