Mbeya City kufungua dirisha dogo Novemba 30 Mbeya City Klabu ya Mbeya City imesema kwa sasa bado haijaanza zoezi la usajili kwani bado wanapitia ripoti ya kocha mkuu Kinnah Phiri ili kuweza kusajili wachezaji wenye viwango ambao wataipa timu hiyo manufaa. Read more about Mbeya City kufungua dirisha dogo Novemba 30