Mbeya City kufungua dirisha dogo Novemba 30

Mbeya City

Klabu ya Mbeya City imesema kwa sasa bado haijaanza zoezi la usajili kwani bado wanapitia ripoti ya kocha mkuu Kinnah Phiri ili kuweza kusajili wachezaji wenye viwango ambao wataipa timu hiyo manufaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS