Hatutamvumilia atakayefanya urasimu - Mh. Majaliwa

Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inahitaji ushirikiano mkubwa na wafanyabiashara, hivyo haitakubaliana na mtumishi yeyote wa umma atakayefanya urasimu kwa lengo la kukwamisha uboreshaji wa sekta binafsi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS