Apandishwa kizimbani kwa kufadhili ugaidi

Sheria na haki

Mtuhumiwa wa kufadhili vitendo vya ugaidi Azan Abubakar (23) amefikishwa mahakamani leo na kusomewa mashtaka mawili ya kutuma fedha kwa njia ya simu zilizokuwa na ujumbe wa kufadhili vitendo hivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS