Apandishwa kizimbani kwa kufadhili ugaidi Sheria na haki Mtuhumiwa wa kufadhili vitendo vya ugaidi Azan Abubakar (23) amefikishwa mahakamani leo na kusomewa mashtaka mawili ya kutuma fedha kwa njia ya simu zilizokuwa na ujumbe wa kufadhili vitendo hivyo. Read more about Apandishwa kizimbani kwa kufadhili ugaidi