Watanzania watakiwa kuwa na tabia ya kujitolea

Mkuu wa wilaya ya Ilala akiwaongoza baadhi ya wakazi wa wilaya hiyo katika kujitolea kufanya usafi.

Kuelekea siku ya kimataifa ya kujitolea tarehe 5 Disemba, shirika la Umoja wa Mataifa la kujitolea UNV nchini Tanzania, linatarajia kuitumia siku hii kufanya kazi za kujitolea ili kuhamasisha jamii kujitolea kwa ajili ya maendeleo, amani na usaidizi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS