Jay Dee afunguka kuhusu kustaafu muziki

Lad jay Dee akiwa na Sam Misago mara baada ya kupokea tuzo yake

Mkongwe wa muziki nchini mwanadada Lady Jay Dee, amewajibu wanaotaka astaafu muziki, na kusema kuwa ataendelea kuwepo kwenye game ya bongo fleva na kwamba hana mpango wa kuacha muziki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS