BASATA yatoa neno kuhusu wasanii kujisajili

Mashabiki waliofika katika usiku wa EATV Awards wakiendelea kupata burudani

Baraza la Sanaa la Taifa limeeleza kuridhishwa na maandalizi ya tuzo za EATV, huku likieleza umuhimu wa wasanii kujisajili katika baraza hilo kabla ya kuanza kufanya kazi ya sanaa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS