Serikali yafunguka kuhusu fao la kujitoa

Kutokea kushoto, Nicholaus Mgaya, katibu Mkuu TUCTA, Waziri Jenista Mhagama, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Mkuu wa MKoa wa Dodoma Jordan Rugimbana na Rais wa TUCTA Gratian Mukoba

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi Ajira na Vijana) Bibi Jenista Mhagama amesema serikali itakaa na wadau ili kuangalia namna ya kulimaliza sakata la fao la kujitoa katika mifuko ya hifadhi ya jamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS