Barcelona wamkataa na kumrudisha Man United

Marcus Rashford

Marcus Rashford amerudi rasmi kuwa mchezaji wa Manchester United baada ya klabu ya Barcelona kuruhusu kipengele cha kumnunua kwa kudumu cha euro milioni 30 (£26m) kupita bila kukiwasha kabla ya tarehe ya mwisho ya Juni 15, 2026

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS