Sababu za Ronaldo kutohudhuria mazishi ya Jota

Cristiano Ronaldo and Diogo Jota

Nahodha wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo hakuwepo kwenye mazishi ya Diogo Jota  na ndugu yake Andre Silva yaliyoongozwa na  Mchungaji Jose Manuel Macedo katika kanisa katoliki la Igreja Matriz de Dgondomar yaliyofanyika leo Julai 5 huko Gondomar karibu na Porto nchini Ureno.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS