Nasty C Afunguka haya kuhusu Msanii Wizkid

Pichani ni wasanii Wizkid na Nasty C

Msanii wa Hip Hop kutoka Afrika Kusini Nasty C amesema kuwa Wizkid ndiye msanii aliyefungua milango ya muziki wa Afrika kwenda kimataifa kwa kiwango kikubwa zaidi, hasa baada ya kufanya kazi na rapper maarufu duniani Drake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS