Simba yatangaza usajili mwingine

Kocha wa Simba, Patrick Aussems

Klabu ya Simba kupitia kocha wake mkuu, Patrick Aussems imesema kuwa ina mpango wa kuongeza mchezaji mmoja wa kimataifa kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa wiki hii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS