Rais Magufuli kushoto, pamoja na picha ya askari wa usalama barabarani wakiwa wamesimamisha basi la abiria.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema hafurahishwi na vitendo vya baadhi ya askari kukamata magari ya abiria na mizigo kisha kuyachelewesha kwa muda mrefu.