Coastal wacharuka suala la Alikiba kuvunja mkataba

Ali Saleh Kiba mwenye jezi namba 7.

Klabu ya soka ya Coastal Union kutoka jijini Tanga, imekanusha vikali taarifa zinazoeleza kuwa mchezaji wao, Ali Saleh Kiba maarufa kama Alikiba amevunja mkataba kama mchezaji na kuwa kiongozi wa timu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS