Timu ya Banda yatwaa ubingwa Afrika kusini

Wachezaji wa Baroka FC wakishangilia ubingwa wao.

Klabu ya Baroka FC ya Afrika Kusini, imefanikiwa kutwaa ubingwa wa kwanza wa soka la ushindani nchini humo baada ya kuifunga Orlando Pirates kwenye fainali ya michuano ya Telkom.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS