'Director' Joowzey na Eddy wapishana kauli Kushoto ni director Joowzey na kulia ni director Eddy Kuelekea mwaka 2019 eNewz, iliamua kufuatilia na kujua kwa mwaka 2018 kwanini waongozaji wa Video za Bongo wamekuwa wakitumia sehemu zinazofanana huku wengi wakisema kuwa jamaa wamekosa ubunifu. Read more about 'Director' Joowzey na Eddy wapishana kauli