Makonda azungumzia ujenzi wa Makao Makuu CHADEMA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ameeleza kushangzwa na hatua ya baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani kuonesha kumpinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kile alichokisema kuwa wanapinga maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS