Aliyehamia CCM, ataja tabu ya kugombea ubunge 2020

Makao Makuu madogo ya CCM Dar es salaam.

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu, Moses Machali, amesita kuzungumzia safari yake ya kuelekea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 na kubainisha kuwa hajui kama atawania nafasi yeyote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS