Utata wa milioni 300 kutafunwa, TFF yafafanua

Makao makuu ya TFF yaliyopo Karume Ilala Dar es salaam.

Shirikisho la soka nchini TFF, limejitokeza na kutoa ufafanuzi juu ya taarifa zinazosambaa kuwa ndani ya chombo hicho cha juu cha soka nchini, kuna ubadhilifu wa shilingi milioni 300.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS