Hesabu kali kundi 'C' klabu bingwa Ulaya leo

Mohamed Salah (kushoto), Neymar (katikati), Dries Mertens (kulia)

Michezo ya mwisho ya hatua ya makundi ya klabu bingwa Ulaya inatarajiwa kupigwa leo na kesho, mbayo itatoa listi kamili ya timu zilizofuzu hatua ya mtoano ya michuano hiyo na zile zinazoteremka hadi katika Europa League.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS