Amuua kaka yake kwa mganga wa kienyeji

Mauaji

Watu wawili wamefariki duniani Mkoani Morogoro baada ya mtu aliyedaiwa kuwa na ugonjwa wa akili kumuua ndugu yake na kisha yeye mwenyewe kujinyonga walipokuwa kwa mganga wa kienyeji kwaajili ya kupata matibabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS