CHADEMA kulipa fidia zilizokataliwa na JPM Mbunge wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea. Mbunge wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea (CHADEMA) amewataka wananchi wa Ubungo kuhifadhi vyema nyaraka zao za maeneo waliyobomolewa na kwamba CHADEMA ikiingia madarakani watahakikisha wanawalipa fidia zao. Read more about CHADEMA kulipa fidia zilizokataliwa na JPM