Hapi adaiwa kulazwa makaburini,mwenyewe afunguka

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi ameonesha kushangazwa na madai ya kujikuta amelala kwenye makaburi mkoani Iringa, kitendo ambacho kinahusishwa na imani za kishirikina.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS