Amber Ruty (wa pili kulia) na Said Mtopari (wa pili kushoto)
Leo Desemba 10, 2018 ilikuwa ni siku ya kusikilizwa kwa kesi inayomkabili msanii Nascat Abubakar maarufu kama ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake Said Mtopari, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.