Hapi adaiwa kulazwa makaburini,mwenyewe afunguka Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi ameonesha kushangazwa na madai ya kujikuta amelala kwenye makaburi mkoani Iringa, kitendo ambacho kinahusishwa na imani za kishirikina. Read more about Hapi adaiwa kulazwa makaburini,mwenyewe afunguka