''Sitaki kuzungumzia ndoa zilizopita'' - Charles

Charles Baba na mkewe Mariam

Msanii kutoka katika bendi ya Twanga pepeta Charles Baba amefanya sherehe Jumamosi hii na mpenzi wake ambaye alifahamika kwa jina la Mariam na ni baada ya kudumu naye kwa takribani miaka kumi katika uchumba wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS