Azam FC yakubali kutimuliwa vumbi Wachezaji wa KMC na Azam FC Klabu ya soka ya Azam FC imezidi kuachwa na vinara wa ligi kuu soka Tanzania Yanga SC baada ya kukubali sare ya 2-2 dhidi ya KMC kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru Dar es salaam. Read more about Azam FC yakubali kutimuliwa vumbi