Wamachinga wapaishwa na Rais Magufuli
Rais Magufuli amelazimika kuingilia kati sakata la kutotambuliwa kwa wafanyabiashara wadogo nchini kwa kuchapisha vitambulisho maalum kwaajili ya kuwatambua wafanyabiashara hao ili waweze kufanya kazi zao kwa uhuru.