Lissu kuvuliwa Ubunge, CHADEMA wamvaa Spika
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeamua kuingilia kati kufuatia kauli ya Spika wa Bunge wa Job Ndugai kusema Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu lissu anaweza kuondolewa Ubunge wake kufuatia kiongozi huyo kufanya ziara nchini Uingereza bila kibali cha Spika.

