Mbowe, Matiko rasmi kula sikukuu gerezani
Hatma ya Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther Matiko ambapo sasa wataendelea kuwa rumande hadi Januari 3, 2019 baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha kesi yao.