Waitara alalamika 'Bodaboda' kupewa pikipiki
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mwita Waitara amelalamikia hatua ya baadhi ya waratibu elimu wa shule za Msingi na Sekondari Mkoani Ruvuma kutumia pikipiki za serikali tofauti na malengo, walipokadhiwa.