Waitara alalamika 'Bodaboda' kupewa pikipiki

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mwita Waitara.

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mwita Waitara amelalamikia hatua ya baadhi ya waratibu elimu wa shule za Msingi na Sekondari Mkoani Ruvuma kutumia pikipiki za serikali tofauti na malengo, walipokadhiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS