Chid Benz atoa ya moyoni kwa wanaomuita Chizi Msanii wa Hip Hop na mkali wa free style, Rashid Makwilo maarufu kama 'Chid Benz', amewajia juu watu wanaomsema vibaya na kumdharau baada ya kupona kutoka kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Read more about Chid Benz atoa ya moyoni kwa wanaomuita Chizi