Uchaguzi Yanga wasimamishwa

Makao makuu ya Yanga

Shirikisho la soka nchini (TFF), kupitia kwa Mwenyekiti wake wa Kamati ya Uchaguzi, Malangwe Mchungahela, limeweka wazi kuwa limepokea maelekezo ya mahakama kuwa uchaguzi wa Yanga umepingwa na wanachama wa klabu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS