Jeshi lazidi kujitoa kwenye korosho Jeshi la wananchi wa Tanzania limesema liko tayari kutumia meli yake yenye uwezo wa kubeba tani mia tano kusafirisha Korosho kwenda jijini Dar es Salaam baada ya maghala yaliyopo mkoani Mtwara kujaa. Read more about Jeshi lazidi kujitoa kwenye korosho