'Vichwa' vilivyoliwa na Kangi Lugola vyachunguzwa
Jeshi la Polisi limetangaza mabadiliko ya Makamanda wa Mikoa mitatu ikiwemo Ng'anzi (Arusha), Hamduni (Ilala) na Lukula (Temeke) ambapo wamehamishiwa makao makuu ya polisi ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola.

