Kauli ya Mwenyekiti wa Man United yatimia Rashford akishangilia moja ya mabao yake Kwa mujibu wa ripoti ya 'Deloitte Football Money League' ambayo inashughulika na mapato ya vilabu vya soka duniani, klabu ya Manchester United imeshika nafasi ya 3 kutoka nafasi ya kwanza. Read more about Kauli ya Mwenyekiti wa Man United yatimia